Benki ya NMB imekabidhi msaada kwa wahanga waMafuriko kwa mkoa wa Iringa – Mafuriko ya Pawagana wahanga wa mafuriko ya wilayani Ruangwa kwakukabidhi vyakula na vifaa mbalimbali vya ujenzivyenye thamani ya shilingi milioni 35. Msaada huo unakuja wakati maelfu ya familia yakiwahayana makazi na chakula baada ya kukumbwa namafuriko yaliyoharibu  mindombinu, nyumba, vyakula pamoja na mashamba yao.

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha uhusiano wake na Chama Cha Wanasheria nchini (Tanganyika Law Society) kwa kuudhamini  mkutano wa mwaka kwa kiasi cha Tsh 10M kwaajili ya maandalizi na shughuli za mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.

 NMB Bank Junior Banker’s Program is designed to empower and develop Bank Tellers by providing certified courses that can enhance their performance and boost their career growth. Last year, the NMB Bank HR team transformed the Teller Induction Program to the Junior Banker’s Program- a three year career development plan designed to speed up Junior Bankers competencies in order to provide a strong foundation and develop their skills.  

  Waziri mkuu mstaafu, Mh. Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Sumbawanga. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki mjini Sumbawanga. Kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Said Magalula, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa NMB, Richard Makungwa (wa tatu kulia), Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Lucresia Makirie  wakishuhudia uzinduzi huo. 

Dar es Salaam, February 24, 2016…NMB Bank has today launched a Tsh300 million promotion that will see new and existing customers win cash prizes of up to TZS 3 Million per person. Dubbed 'Pata Patia na NMB Bank' the promotion will run for six months, and is aimed at encouraging customers to deposit money into their accounts and stand a chance to win cash prizes ranging from TZS 100,000/-  to TZS 3 Million each.